

Umati wa watu mbalimbali wakiwemo wasafiri wasafiri waliokuwa katika mabasi mengine wakiwa wamejaa kushuhudia Ajali hiyo.

Shughuli za uokoaji zikiwa zinaendelea

Muonekano wa Basi la Abiria na Lori yaliyo athirika kwa ajali hiyo
Mashuhuda

Basi la Abiria likiwa katika Hali mbaya baada ya ajali

Waokoaji wakiwa wanaendelea kufanya ushirikiano namna ya kuwasaidia watu waliopata ajali hiyo.

Miongoni mwa watu wakiwa wanatazama namna Magari hayo yalivyopata ajali



Askari
wa usalama Barabarani wakiwa wanahakikisha watu mbalimbali waliodhurika
katika ajali hiyo wanaweza kupata msaada/huduma kwa haraka.

Basi
lililokuwa limebeba abiria waliokuwa wakitokea Mbeya kuelekea Dar es
salaam Lenye namba za usajili T438 CDE likiwa katika hali mbaya.